iqna

IQNA

mohammad salah
Waislamu na Michezo
TEHRAN (IQNA) – Mshambulizi maarufu Timu ya Taifa ya Soka ya Misri, Mohammed Salah, bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson, na mshindi wa taji la Ballon d'Or la mwanasoka bora duniani Karim Benzema ni miongoni mwa wanamichezo Waislamu wenye ushawishi mkubwa mwaka 2023.
Habari ID: 3476013    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31

TEHRAN (IQNA)- Mcheza soka mahiri wa Misri Mohammad Salah ametuma ujumba wa salamu za Krismasi katika ukurasa wake wa Instagram akiwa na mke na watoto wake wawili.
Habari ID: 3474727    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26

TEHRAN (IQNA) – Mchezaji maarufu wa soka wa timu ya Ligi Kuu ya England, Mohammad Salah ameonekana akisoma Qur’ani Tukufu akiwa ndani ya ndege.
Habari ID: 3473758    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/24

TEHRAN (IQNA)- Pamoja na kuwa atashiriki katika mechi muhimu zaidi ya soka katika maisha yake, yamkini nyota wa Liverpool Mohammad Salah akafunga saumu ya Ramadhani katika siku ya mechi na Real Madrid ya Fainali ya Mabingwa wa Ulaya.
Habari ID: 3471526    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/22